KIVUMBI WALIOMTISHIA DC, RC CHALAMILA AAGIZA WASAKWE "NITAWAFYATUA, HAKUNA WAKUPANDA KIPARA HIKI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 266

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +29

    Kwenye jamhuri yetu ya Ze kabwelas republic nitakupa u waziri mkuu. Yuko vizuri sana Komrade Chalamila kijana wa JPM Watanzania ndio wanataka kuendeshwa hivyo

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Год назад +5

    Huyo ndio kiongozi anae itajika kwa maslahi ya taifa chukua maua yako baba 💐💐💐💐

  • @user-wp8yk6ow8h
    @user-wp8yk6ow8h Год назад +19

    Mhe Rais Samia hongera kwa chaguo😢😢😢lako la mkuu wa mkoa wa Da es salaam

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Год назад +4

    Safi sana Mkuu wa Mkoa uko vizuri.

  • @fathiliamakuka4858
    @fathiliamakuka4858 Год назад +6

    Vizuri sana unajua kuna watu wanata ,kupelekwa namna hii , wanajiangalia wao tuu bilakujua wengine wapo, nenda nao hivohivo bila kuogopa.

  • @RamadhanOmar-ow1ki
    @RamadhanOmar-ow1ki Год назад +2

    Safi sana mkuu wa mkoa kwa kweli inauma sana hiyo tabia kwa kweli serikali nyie ndo mnailea hapo mkuu ushasema kuwa hao watu unawajua wanao kula nao .Hivi kwanni wasichukuliwe hatua hao watu wakawekwa hadharani na mwisho wa siku wataifishwe Mali zao wakionekana wameiba .Ila serikali yetu kila siku kwenye madudu hamchukui hatua kabisa kuanzia juu ya serikali mpaka huko chini .Watu wamgekuwa wanafungwa na kutaifishwa mali zao hao walioiba hayo mambo yasingekuwepo kabisa .Kwa kweli inasikitisha kila siku habari ni hizo watu wanaiba hawachukuliwi hatua .Waliotajwa na Cag mpaka Leo kimya hivi tunawqfundisha wengine ni kuendelea kuiba na wanajua hawafanywi kitu chochote.Washahili walisema ".Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"

  • @husseinally3015
    @husseinally3015 Год назад +4

    Muheshimiwa chala hongera sana hii tz inatakiwa wa2 makauzu ukijitia mnyonge wanakufata mpk nyumbani bro chala nimekuelewa sana

  • @kitejamayunga7645
    @kitejamayunga7645 Год назад +6

    Hapa Mama yangu Samia aliupiga mwingi Kwa chaguo Hili Hapa Dar

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад +8

    FANYA KAZIII BABA MUNGU AKUSIMAMIEEE❤

  • @user-dz1lo1nx1w
    @user-dz1lo1nx1w Год назад +5

    Pigia kazi RC narudia piga kaziiii
    Dar inahitaji maamuzi ya aina hiii.

  • @user-rk5jf2lq3h
    @user-rk5jf2lq3h Год назад +2

    Umetishaaa wa mbeya tunakukumbuka piga kaziiiu

  • @user-ln5zv9to6e
    @user-ln5zv9to6e Год назад +1

    Safi sana mheshimiwa, haiwezekani masokoni ushuru unakusanywe kila siku mabadiliko hayaonekani.TUMBUA TU MHESHIMIWA CHALAMILA.

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 Год назад +4

    Ni Bora kaingilia kati,kwasababu watu wakishakuwa na ku control eneo la biashara wanaonea wenzao Bora watimuliwe waweke wanaojali bila kunyanyasa wenzao,

  • @edwinmachange6607
    @edwinmachange6607 Год назад +2

    Hongera sana Mkuu wetu wa Mkoa kwa kazi nzuri mnoo. Zidi kubarikiwa kiongozi

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 5 месяцев назад

      Wende jela au mahakamani mboma umepotoliza kiongozi😂😂3

  • @AmidaKomba
    @AmidaKomba Год назад +1

    Safi sana kazi nzuri,

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +1

    Chalamila ni kiboko.hongera sana❤

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Год назад +1

    Kanywe soda mh nitalipa 💪👍

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Год назад +3

    Nampenda sana mkuu wa mkoa hasa akiongea

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад +3

    Sanaaaaa waaambiweeeee wanakuja pesaaaaa hao. Viongiziii MATAPELIIII watoweniiii

  • @deomusyebi9930
    @deomusyebi9930 Год назад +3

    Pole sana RC Chalamila baadhi ya watu wamezidi jeuri na hii inakatisha Tamara sana sasa huyo mtu Ana mtu gani nyuma yake anae mpa kiburi kamata wote tupa store washike Adabu wote

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Год назад +8

    BIG UP RC SWEKA WOTE KILA ANAYELETA TAHARUKI NCHINI 😢😢😢😢😢

  • @barakasandey1980
    @barakasandey1980 Год назад +15

    Mimi Huwa namkubali sanaaa huyu mwambaaa

  • @fanuelmpesa3484
    @fanuelmpesa3484 Год назад +6

    Kazi iendelee mpaka kieleweke

  • @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
    @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl Год назад +5

    Jembe la JPM Hilo piga Kaz baba

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 4 месяца назад

      Kwani huyo dikteta JPM yupo wapi.
      Na kwa nini liwe jembe Lake?

    • @MWINYIKADHI
      @MWINYIKADHI 17 дней назад

      Hata ww utaondoka lkn kwenye maslahi ya wengi lazima kiongozi asimamie haki​@@MilloWamilonga-ft8ir

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Год назад +3

    Piga kazi baba usiwasikilize wanaokuambia hufai usijali hata piga kazi ukweli,ni ukweli tu

  • @user-rk5jf2lq3h
    @user-rk5jf2lq3h Год назад +1

    Wapelekee moto mkuu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад +2

    Safi sana mkuu

  • @iddimultano9478
    @iddimultano9478 Год назад +4

    Kama #Katiba inamruhusu Basi hana baya mwacheni apige kazi ni muhimu sana tunataka maendeleo.

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 Год назад +10

    Mungu akutangulie piga kazi…..

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 2 месяца назад

    TUKWAMBIE TUUU WW BRA MAGUFULI USINGE JURIKANA INCHI HIIIII MAGUFULI ATABAKI KUWA JPM TUUUUUU TUMEKUCHUKIA SANA

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 Год назад +7

    Sasa munakata kata nini wakati yeye katukana mbele ya wananchi acha ivo ivo

  • @josephkaunga8014
    @josephkaunga8014 Год назад +2

    Salute kwako mkuu

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Год назад +1

    Fanya kazi yako bila hofu mh

  • @salumukimbanga2495
    @salumukimbanga2495 Год назад +1

    RC Chalamila na DC Komba pigeni kazi

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Год назад +2

    Namkubali sana toka enzi za Magufuli alikuwa hana mchezo na mtu

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 4 месяца назад

      Acha kumbuka muuwaji dikteta ni sawa na kukiota kifo chako

  • @edwardkongo410
    @edwardkongo410 Год назад +1

    Hatariiiii hakuna kuchezeana hapa

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile5942 Год назад +4

    Aise watazania bure kabisa wao nikushangiliatu kilakitu

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Год назад

      Ukiona hivyo ujue hawakubaliani na kikundi kidogo cha wenzao kinachokwamisha ukarabati wa soko

  • @LaurentMkolea-rh8sh
    @LaurentMkolea-rh8sh Год назад +2

    Wanaomuona huyu mwamba kazingua wote was hovyo. Wabongo tunaenda kwa ubabe kidogo ndo inatakiwa hivo.wengine wanajifanya kujaza matumbo yao tu na kunyanyasa wadogo

  • @dignapetro2903
    @dignapetro2903 Год назад +1

    Umetisha sna mh nakuunga mkono kabisa hali ya hapo n mbya sana tena n muda sana nashindwa kuelewa viongozi wapo wapi kwa hili ubarikiwe sana

  • @daudedson4520
    @daudedson4520 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣za Moto ka maji ya betrii🤣🤣Hii imeenda sawa

  • @user-ds8zk6ns7t
    @user-ds8zk6ns7t Месяц назад

    Dah Yani Mtu Anatukana watu wanashangilia dah hii ni hatali sana

    • @MWINYIKADHI
      @MWINYIKADHI 17 дней назад

      Kama umemia na ww tukana

  • @user-ps7kv7lp4m
    @user-ps7kv7lp4m 11 месяцев назад

    Mh rais kama kuna mtu tunamkubali wakuu wamikoa rc chalamila namkubali sana anamaamuzi yake sahihi

  • @ElifurahaLaizer-lj7ed
    @ElifurahaLaizer-lj7ed 8 месяцев назад

    Unafaa Kuwa Rais wa Tanzania

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 11 месяцев назад

    HUYU BWANA CHALAMILA AMEKOSEA SANA KUTUKANA WATU.KUTISHA WATU SIO SAWA.BILA KUJALI HAO WENGINE WALIFANYA NINI YEYE NIKIONGOZI HAPASWI KUJIBU HOJA KWA KUTUKANA .SIJA PENDA KABISA

    • @MWINYIKADHI
      @MWINYIKADHI 17 дней назад

      Upende usipemde hiyo imeisha kamanumeumia kasage chupa ubwie

  • @MichaelEdwrdi-jp5ve
    @MichaelEdwrdi-jp5ve Год назад

    Daaah hatimae soko la raia aisee ahsante mkuu wa mkoa kwa kuja

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 8 месяцев назад

    Ayo tv safi sana!!

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 8 месяцев назад

    HII HASIRA NI KUBWA MNO MNAOSUMBUA KIMBIENI HARAKA.

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Год назад +2

    Huyu ndio mkuu wa mkoa tuliokua tunamtaka

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 Год назад +2

    Ayo tv kuna habari huku mtahani ni muhimu Sana tofauti na hapo tunaweza poteza

    • @MWINYIKADHI
      @MWINYIKADHI 17 дней назад

      Unamaanisha nn

    • @MWINYIKADHI
      @MWINYIKADHI 17 дней назад

      Kwamba hapo Ayo tv hakuatahili kurusha habar hii

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Год назад +1

    huyu chalamila nikama mwanri hawafai kua viongozi huyu kweli ni mtawala kama irivyo tabia ya ccm ni watawala sio viongozi hawa ccm mtaondoka siku moja tu

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 2 месяца назад

    Mhn.....mbona kama sio

  • @hassanisaimon1531
    @hassanisaimon1531 Месяц назад

    Acha kiburi ww Kwan ww nani
    Umejiumba,nakupa muda huwez kukaa milele apo kwenye kiti Makonda is around the corner

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 Год назад +10

    Chalamila endelea kusimama namna hiyo, watu wanapenda mzaha sana, na ndio maana nchi haiendi! Na nchi hii inataka viongozi wa aina yako. Huo ndio ukweli!

    • @emmykundy4273
      @emmykundy4273 Год назад

      Sawa, lakini jazba ya nini? Matusi ya nini?

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 Год назад

      @@emmykundy4273 hakuna matusi hapo! Halafu we ulitaka aende anawabembeleza? Kwa nchi hii ilivyo yuko sawa tu!

    • @isabujoisabujo1214
      @isabujoisabujo1214 Год назад

      Yuko sawa sanaaa❤

  • @edwardmaguluko6541
    @edwardmaguluko6541 Год назад +5

    Huyu mwamba kachafukwa kweli

  • @michaelmrema5233
    @michaelmrema5233 Год назад

    Safi sana kuyaona hayo

  • @isaacndashuka5959
    @isaacndashuka5959 Год назад +8

    Hapa ndio mtajua elimu wanayopewa watz ni ziro.kila kitu wanashangilia.aibu kwa viongozi na wananchi pia

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Год назад +2

      Yaani ni aibu tupu,yaani kuwa mkuu wa mkoa ndio utukane watu na kuwatisha watu kwenye nchi yao,huo uongozi anaosema anauvunja leo,aliuteua yeye?Hana weledi wa kuongoza mkoa,hii ni aina ya viongozi wanaoteuliwa kutoka UVCCM,hovyo kabisa.

    • @emanuelayubu5021
      @emanuelayubu5021 Год назад

      watanzania wanatakiwa tujithimini haraka iwezekanavyo, haiwezekanini kabisa kiongozi kuporomosha matusi na kutishia watu.

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Год назад

      @@emanuelayubu5021 Halafu kuna Watanzania wenzetu wanamsupport matendo hayo ya kijinga na ya kipumbavu,ni hovyo kabisa.

  • @patrickjohn4135
    @patrickjohn4135 Год назад

    tanzania bil kiongozi mbabebe mnazoeana viby

  • @feisalseif6488
    @feisalseif6488 11 месяцев назад

    Ila kauli na maneno unayotumia yatabalia kuwa kumbu kumbu ndani ya vichwa na mioyo ya watu uongozi ni busara hekima na uvumilivu

  • @user-se3dl4sx2u
    @user-se3dl4sx2u 10 месяцев назад

    Huyu mwamba .ndio anafaa hapa dar..

  • @athumanfuko199
    @athumanfuko199 Год назад +1

    Kuna mnyororo hapo km ulivyosema ndio maana wanaleta jeuri.

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu Год назад +1

    Huyu jamaaa mtu wa kzi sanaaa nmefatilia vipande vyt nmewaelewa sanaaa na mkuu wako wa wilaya pigen kaz lindez mal zetu

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw Год назад +1

    chalamila piga kazi wa dar tuna imani na ww dar imepata mkuu sahihi

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah4641 8 месяцев назад

    Mkuu wawilaya uko vizuli pamoja mkuu wamkoa mnatukumbusha laisi wetu magu

  • @MozaAly-st8fl
    @MozaAly-st8fl Год назад

    Tenda kazi kuwa na hekima km magufuli. Serekali ni alla sio ww mtukanifu. Ukikata roho tu huna lolot.

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 Год назад +3

    Mbona mnakataka maneno ya mkuu wa mkoa hamtendi haki

    • @alenialex6941
      @alenialex6941 Год назад

      Maneno mengine makali ndo misingi ya abari

  • @user-re5fe9si4v
    @user-re5fe9si4v Год назад

    Kwaiyoo mnatowa pongezi Kwa kutuita tukome kama tulivyo koma ziwa la mama yetu duuuuuh wasomi wa nchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @EdesPagiel-dh4ls
    @EdesPagiel-dh4ls Год назад

    Bado ujasema na utasema ( yaani anaongea kwa zarau ya hali ya juu)

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 Год назад +2

    Tanzania inatawalika tuuu !

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Год назад

    Uko vzr mkuu nchi hii inaitaji hivo tu. Safi:km Magu vile?? Ila punguza kidg. Bkb tunakukumbuka

  • @evamlay8997
    @evamlay8997 Год назад +2

    Kwakweli soko la mabibo limeshindikana chafu mitope

  • @eliannko
    @eliannko Год назад +3

    uyu afai kuwa kiongozi ana busara

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 Год назад

      Watanzania hawaitaji busara hivi ndio safi!ukileta kauli za kishoga huta eleweka!busara kamfanyie Baba ako au Mama ako kwenu huko

    • @gustavompemba1781
      @gustavompemba1781 Год назад

      Nyie munapend busara kweli

    • @user-eg3fg3ic9q
      @user-eg3fg3ic9q 8 месяцев назад

      Yani anamatus sana hafai kuwa kiongoz so muda samia atamtumbua tu mbona mama anakauli nzuri sn

  • @salama1113
    @salama1113 11 месяцев назад

    Kwahiyo nyie mnao shangilia kama mzaziwako anatukanwa mnalidhika akili kweli mali bola ukose mali upate akili

  • @user-cx6xt4pm8u
    @user-cx6xt4pm8u Год назад +1

    Chalamila yupo sawa wabongo ndio tunatakiwa tupelekeshwe na kauli za kibabe ata ivyo wamemkera sana

  • @user-ow3fz2fh2w
    @user-ow3fz2fh2w Месяц назад

    Majitu yanafulaia ujinga

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 5 месяцев назад

    Kiongozi hakupaswa kutukana hata kama mtu kakosea. Kiongozi tumoa busara kama kiongozi. Kama umekasirishwa basi tumia busara na usitukane wala usikasirike mpaka ukapotiliza mipaka.

  • @talktruth9900
    @talktruth9900 11 месяцев назад

    A lot of indimidatioin

  • @johnzege209
    @johnzege209 Год назад +3

    Mtanzania yeye Kila kitu anashangilia, ukimuuliza kimezungumzwa Nini hajui, mradi maisha yanaendelea tuu, 😂😂😂

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk Год назад

      Hhhhh

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 Год назад

      Hahahaaaaaa kabisa aisee

    • @user-sl8bu3we1m
      @user-sl8bu3we1m Год назад +1

      Tanzania bado sana kila kitu mafi , hata mgeambiwa nyie wote mlipo hapa wapumbafu sana , mgepiga makif na vigelegele .

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk Год назад

      @@user-sl8bu3we1m jmn ww jeur duh 😃😃😃😃

  • @user-eg3fg3ic9q
    @user-eg3fg3ic9q 8 месяцев назад

    Kuwait ma hekima

  • @reginas1832
    @reginas1832 Год назад

    Hii nchi Mungu tusaidie.

  • @ElisaLuisMarengula-wg9ul
    @ElisaLuisMarengula-wg9ul Год назад +1

    Hii no serikali wa Afrika wanataka

  • @kiwangasaidi6284
    @kiwangasaidi6284 Год назад

    Safisanaa Mkuu wa Mkowa Nakutakiya Kila Laheli Natamani Ufikembali Katika Uongozi Wako

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 Год назад +5

    Alikuwa muimba kwaya huyo jamaa baada yakutenguliwa......huwa namkubari sana kwenye usimamizi wake wa majukumu yake

  • @dynamicplatform2102
    @dynamicplatform2102 Год назад

    Linafaa kuwa Rais la 2030

  • @michaelmrema5233
    @michaelmrema5233 Год назад

    Huyu nizaidi ya magufuli.
    Tuache ubinafsi chalamila jembee.

  • @Hapomwanzo
    @Hapomwanzo Год назад

    HII NCHI NI KILA MTU ANAWEZA KUAMUA LOLOTE! MMMMM!.

  • @cosein
    @cosein Год назад

    Yaani huyu jamaa akiwa rais Tanzania itafika mbali

  • @bouzartbc5641
    @bouzartbc5641 Год назад

    najiona mimi nkijaa,

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 Год назад

    Daaaaaaa hii nch kuna watu wanausenge sanab

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Год назад +1

    dah naona reo umeongea kwaasira kweri reo

  • @tinolutonja8932
    @tinolutonja8932 Год назад

    hii

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 Год назад

    Halafu kwanini umeme unakatika katika? Dar! Kama ndiyo tunapata uhuru?

  • @rhodapyuza6053
    @rhodapyuza6053 Год назад

    Safi

  • @emmykundy4273
    @emmykundy4273 Год назад +5

    Hali ya soko la Mabibo ni shida sana, kuna watu walijifanya ni shamba la bibi yao.
    Sasa wamekutana na mwehu zaidi yao, jamaa kaamua ajifanye mwehu ili apambane nao ki-wehu…
    Hilo soko lipo kama dampo

  • @MozaAly-st8fl
    @MozaAly-st8fl Год назад

    Wewe mjinga mkubwa hatukani watu.

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga3939 Год назад

    Hizi kauli ni mbaya sana,

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Год назад +1

    Leo chalamila kanywa mbege nn

  • @ImaniHussein
    @ImaniHussein 2 месяца назад

    😢

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Год назад +1

    Cha Cha Cha chaaaaaalamilaaaaaaaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @frankmlinda1181
    @frankmlinda1181 Год назад

    Chalamila yuko sawa,wabongo ukiwaendekeza wanaleta dharau sana wasenge hao wanachukua ushuru mazingira mabovu .big up bro.

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Год назад

      Mazingira ya soko la mabibo ni mabovu sana kama kiongozi ukiwachekea hawata ogopakuchukua ushuru na kula tu bila marekebisho safi sana chalamila huo ndio uongozi

  • @ESTgroup474
    @ESTgroup474 3 месяца назад

    5:30